
VIGAWANYO NA MISINGI (KANUNI) ZA KITABU CHA “ALQAULUL- MUFID”(MANENOYENYE FAIDA)
Kitabu kwa lugha ya kiswahili amekitunga Dr Haytham sarhaan nacho ni ufupilizo wa kitabu الفول المفيد على كتاب التوحيد للعلامة العثيمين رحمه الله ambacho kinazingatiwa ni katika vitabu vyenye manufaa katika zama zetu hizi katika kubainisha tawhiid ambayo ameiwajibisha Allaah kwa waja wake, na kubainisha yale yanayopingana na msingi huu wa tawhiid ambayo ni shirki kubwa au yanayopunguza ukamilifu wake katika shirki ndogo. Amekiweka mtunzi katika mpangilio...
Read MoreInternal PDF Viewer
FAST DOWNLOAD
VIGAWANYO NA MISINGI (KANUNI) ZA KITABU CHA “ALQAULUL- MUFID”(MANENOYENYE FAIDA)
Scan QR Code | Use a QR Code Scanner to fast download directly to your mobile device
Downloads