Siku za Dhil Hijja. Kivipi tutakaribisha hizi siku?

Siku za Dhil Hijja. Kivipi tutakaribisha hizi siku?

Siku za Dhil Hijja. Kivipi tutakaribisha hizi siku? Imepokelewa na ibn abbas ya kuwa mtume ﷺ amesema: hakuna siku ambazo vitendo njema inapendezwa mbele ya Allah kuliko hizi siku. (yaani siku kumi za Dhil hijja.) Wakasema: hata jihad kwa njia ya Allah? Akasema ﷺ, hata jihad kwa njia ya Allah, isipokuwa yule mwenye ametoka na nafsi yake na Mali yake na hakurudi na chochote. Na vitendo njema inajumuisha ibada za Aina tofauti, kama vile saum, salah, hajj, Dhikr na kusema Allahu Akbar, kusoma Quran,...

Read More
FileAction
photo_٢٠٢٤-٠٦-٠٨_٢٠-١٠-١٩.jpgDownload
Internal PDF Viewer
Siku za Dhil Hijja.  Kivipi tutakaribisha hizi siku?
FAST DOWNLOAD

Siku za Dhil Hijja. Kivipi tutakaribisha hizi siku?

Scan QR Code | Use a QR Code Scanner to fast download directly to your mobile device

Downloads
Scroll to Top