Free DownloadMAFUNZO MUHIMU KWA UMMAH MZIMA
Kitabu kwa lugha ya kiswahili amekitunga Dr.Haytham Sarhaan nayo ni sherhe ya matni ya الدروس المهمة لعامة الامة ya imaam ibn baaz Rahimahu llaah Amekusanya ndani mkusanyiko wa elimu za kisheria zenye kuhusiana na hukmu za kifiqhi na aqida na tabia ambazo inapasa watu wote wazifahamu. Amekiweka mtunzi katika mpangilio mzuri wa majedwali na mafungu,…

