
Kitabu kwa lugha ya kiswahili amekitunga Dr Haytham sarhaan
Kitabu kwa lugha ya kiswahili amekitunga Dr Haytham sarhaan Kinakusanya mambo ya fuatayo:- 1- Maswali ya kaburini matatu. Nayo ni risala yenye thamani imekusanya misingi ya wajibu kwa mwanadamu kuitambua na ambayo anaulizwa kaburini, na aina za ibada alizoamrisha Allaah na kubainisha daraja za dini. 2-القواعد الأربع Risala fupi ambayo inabainisha kanuni za tawhiid na baadhi ya shubha ambazo wanatolea hoja washirikina na majibu juu ya hoja hizo. 3- نواقض الإسلام Matini fupi...
Read MoreKitabu kwa lugha ya kiswahili amekitunga Dr Haytham sarhaan
Scan QR Code | Use a QR Code Scanner to fast download directly to your mobile device