Atakapokunywa mbwa katika chombo cha mmoja wenu basi akioshe mara saba
Imepokelewa kutoka kwa Abuu Huraira -radhi za Allah ziwe juu yake- yakwamba Mtume -rehema na amani ziwe juu yake- amesema: "Atakapokunywa mbwa katika chombo cha mmoja wenu basi akioshe mara saba". Na kwa Muslim: "Moja kati ya mara hizo aoshe kwa udogo"

