Kunyonya pamoja kuna haramisha yale yanayo haramishwa na kuzaliwa pamoja
Imepokelewa kutoka kwa Aisha -radhi za Allah ziwe juu yake- kutoka kwa Mtume -rehema na amani ziwe juu yake- amesema: "Kunyonya pamoja kuna haramisha yale yanayo haramishwa na kuzaliwa pamoja."

