HadeethEnc · 1.18.0
Haifai kujidhuru wala kumdhuru mwingine
Available translations
Choose an available translation of this Hadeeth
01
Hadeeth text
Kutoka kwa Abuu Saidi Sa'di bin Maaliki bin SInani Al-Khudry -radhi za Allah ziwe juu yake- yakwamba Mtume -rehema na amani ziwe juu yake- amesema: "Haifai kujidhuru wala kumdhuru mwingine."
02
Explanation
Amebainisha Mtume -rehema na amani ziwe juu yake- kuwa ni lazima kuzuia madhara kwa aina zake zote na sababu zake zote kwako na kwa wengine, ni haramu kwa yeyote kujiudhi mwenyewe na mwingine kwa kiwango sawa. Na ni haramu kwake kukabiliana na madhara kwa madhara; kwa sababu madhara hayaondoshwi kwa madhara, isipokuwa kama itakua katika njia ya kulipiza kisasi pasina kuvuka mipaka.
03
Benefits
Katazo la kulipiza kwa zaidi ya vile ulivyofanyiwa.
Mwenyezi Mungu hakuwaamrisha waja wake lolote lenye kuwadhuru.
Hadithi ni kanuni katika kuharamisha kujidhuru, na kudhuru kwa kauli au vitendo au kuacha.
Katika kanuni za sheria: Ni "Madhara huondoshwa", Hivyo, sheria haikubaliani na madhara, na inakataza kujidhuru.
Mwenyezi Mungu hakuwaamrisha waja wake lolote lenye kuwadhuru.
Hadithi ni kanuni katika kuharamisha kujidhuru, na kudhuru kwa kauli au vitendo au kuacha.
Katika kanuni za sheria: Ni "Madhara huondoshwa", Hivyo, sheria haikubaliani na madhara, na inakataza kujidhuru.
Attribution
[Imepokelewa na Ibnu Maajah, Daaruqutni na wengineo huku inafika kwa Mtume]
Categories
Share
Share hadeeth
Sharing options · 0 Total shares

