Msitengeze mabustani, mkajakuipenda sana dunia
Choose an available translation of this Hadeeth
Hadeeth text
Kutoka kwa Abdallah bin Masoud -radhi za Allah ziwe juu yake- amesema: Amesema Mtume -rehema na amani ziwe juu yake-: "Msitengeze mabustani, mkajakuipenda sana dunia".
Explanation
Benefits
Katika hadithi hakuna katazo la kutengeneza yale yanayopelekea maisha, bali katazo ni kuzama katika dunia na kuisahau Akhera.
Amesema Sanadi: Na makusudio yake: Nikuwa msizame katika kutengeneza mabustani, mkapumbazika nayo na mkajisahau kumtaja Mwenyezi Mungu.
Attribution
Categories
Share hadeeth
Sharing options · 0 Total shares

