Dunia ni Gereza la Muumini na ni Pepo ya Kafiri
Choose an available translation of this Hadeeth
Hadeeth text
Imepokelewa kutoka kwa Abuu Huraira -radhi za Allah ziwe juu yake- amesema: Amesema: Mtume -rehema na amani ziwe juu yake-: "Dunia ni Gereza la Muumini na ni Pepo ya Kafiri".
Explanation
Benefits
Amesema Assanadi: Kauli yake: "Gereza la Muumini" Bila shaka hata kama ndani yake kuna neema, basi Pepo ni bora kwake kuliko hizo, "Na Pepo ya Kafiri" Basi hata kama kuna machukizo ila Moto ndio shari zaidi kwake kuliko hayo.
Udhalili wa Dunia kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu.
Dunia ni nyumba ya majaribu na mitihani kwa wenye imani.
Kafiri ameiwahisha Pepo yake Duniani; akaadhibiwa kwa kunyimwa Pepo Akhera na neema zake.
Attribution
Categories
Share hadeeth
Sharing options · 0 Total shares

