Mlisheni mwenye njaa, na mtembeleeni mgonjwa, na mwacheni huru mateka
Choose an available translation of this Hadeeth
Hadeeth text
Imepokewa kutoka kwa Abuu Mussa Al-Ash'ary -radhi za Allah ziwe juu yake- kutoka kwa Mtume -rehema na amani ziwe juu yake- amesema: "Mlisheni mwenye njaa, na mtembeleeni mgonjwa, na mwacheni huru mateka".
Explanation
Benefits
Himizo la kumlisha chakula mwenye njaa na uhitaji, huyu imeamrishwa kumlisha.
Sheria ya kumtembelea mgonjwa; ili kumpa faraja, na kumuombea dua na kupata malipo, na mengineyo.
Kufanya pupa kumwacha huru mateka aliyetekwa na makafiri, na hiyo ima kwa kulipa gharama inayohitajika ili kumuondoa mikononi mwao, au kwa kubadilisha nao na mateka wa kikafiri, yaani: Kwa njia ya kubadilishana.
Attribution
Categories
Share hadeeth
Sharing options · 0 Total shares

