Ogopeni dhulma, kwa hakika dhulma ni giza siku ya kiyama. Na ogopeni tamaa, kwa hakika tamaa iliwaangamiza walio kuwepo kabla yenu
Choose an available translation of this Hadeeth
Hadeeth text
Na kutoka kwa Jaabir Bin Abdillah -Radhi za Allah ziwe juu yake- Amesema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu -Rehema na amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- "Ogopeni dhulma, kwa hakika dhulma ni giza siku ya kiyama. Na ogopeni tamaa, kwa hakika tamaa iliwaangamiza walio kuwepo kabla yenu. Iliwapelekea kumwaga damu zao, na kuhalalisha yaliyo haramu kwao".
Explanation
Benefits
Ubahili na tamaa huwavuta watu katika maasi na machafu na madhambi.
Kuchukua mazingatio kupitia hali za wale waliotangulia.
Attribution
Categories
Share hadeeth
Sharing options · 0 Total shares

