Na hakika Mwenyezi Mungu ameniteremshia wahyi kuwa, kuweni wanyenyevu, mpaka asijikweze yeyote kwa mwingine, na wala asimfanyie uadui yeyote mwenzake
Choose an available translation of this Hadeeth
Hadeeth text
Kutoka kwa Iyaadh bin Himari ndugu yao na Bani Mujashii radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake amesema: Alisimama kwetu Mtume wa Mwenyezi Mungu rehema na amani ziwe juu yake siku moja kwa ajili ya kuhutubia, akasema: Na akaeileza hadithi na ndani yake alisema: "Na hakika Mwenyezi Mungu ameniteremshia wahyi kuwa, kuweni wanyenyevu, mpaka asijikweze yeyote kwa mwingine, na wala asimfanyie uadui yeyote mwenzake"
Explanation
Benefits
Katazo la uadui na ufahari.
Kujinyenyekeza kwa ajili ya Mwenyezi Mungu kuna maana mbili: Maana ya kwanza: Ni mtu unyenyekee kwa ajili ya dini ya Mwenyezi Mungu, usijikweze katika dini, na wala usiwe na kiburi, na kutekeleza hukumu zake. Na ya pili: Ni unyenyekee kwa waja wa Mwenyezi Mungu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, si kwa sababu ya kuwaogopa, na wala si kwa kutaraji walivyonavyo, lakini ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu Aliyetakasika na kutukuka.
Attribution
Categories
Share hadeeth
Sharing options · 0 Total shares

