Haingii peponi mfitinishaji
Choose an available translation of this Hadeeth
Hadeeth text
Imepokewa kutoka kwa Hudhaifa -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- amesema: Nilimsikia Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- akisema: "Haingii peponi mfitinishaji".
Explanation
Benefits
Katazo la umbea; kwani ndani yake kuna kuwavuruga watu na madhara baina ya mtu na mtu na jamii mzima.
Attribution
Categories
Share hadeeth
Sharing options · 0 Total shares

