HadeethEnc · 1.18.0
Mwenye kutakiwa kheri na Allah, (Allah) humuonja kutokana na kheri hiyo
Available translations
Choose an available translation of this Hadeeth
01
Hadeeth text
Imepokewa Kutoka kwa Abuu Huraira -Radhi za Allah ziwe juu yake- amesema: Amesema Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake-: "Mwenye kutakiwa kheri na Allah, (Allah) humuonja kutokana na kheri hiyo.
02
Explanation
Anaeleza Mtume -Rehama na amani ziwe juu yake- yakuwa Mwenyezi Mungu akitaka kheri kwa yeyote katika waja wake waumini huwapa mtihani katika nafsi zao na mali zao, na familia zao, kwa kile kinachotokea kwa muumini ikiwemo kurejea kwa Allah Mtukufu kwa maombi na dua, na kufutiwa makosa, na kunyanyuliwa daraja.
03
Benefits
Nikuwa muumini anakabiliwa na mabalaa mbali mbali.
Mtihani unaweza kuwa alama ya mapenzi ya Allah kwa mja wake, ili amnyanyue daraja yake, na ampandishe cheo chake, na amfutie madhambi yake.
Himizo la kuwa na subira wakati wa matatizo na kutolalama.
Mtihani unaweza kuwa alama ya mapenzi ya Allah kwa mja wake, ili amnyanyue daraja yake, na ampandishe cheo chake, na amfutie madhambi yake.
Himizo la kuwa na subira wakati wa matatizo na kutolalama.
Attribution
[Imepokelewa na Al-Bukhaariy]
Categories
Share
Share hadeeth
Sharing options · 0 Total shares

