Dalili ya muislam mpya – Ni nini uislam? – Kiswahili

Dalili ya muislamu mpya au ni nini uislamu?

Ubao wa kuelekeza maana ya dini ya uislamu na vile muislamu atajifunza msingi wa dini,

Ndani yake:
1 ubao wa tawheed na viwango vyake na viwango vya dini na viwango vya vitu haram.

2 sifa ya wudhu na tayammum na ghusl.

3 sifa ya salah ya mtume صلى الله عليه وسلم

4 kisa cha Myahudi na vile alikuwa muislamu.

5 Manasik ya hajj na umrah.

6 sunnah ya fitra.
7 Tabia ya muislamu.
8 ufupisho wa haki zilizolinganiwa na fitra na Sheria ikiitilia mkazo.
9 ufupisho wa njia ya manufaa kukuwa na maisha mazuri.
10 Ni nani mtume Muhammad صلى الله عليه وسلم na ametufundisha nini?