Wanaendelea watu kuwa katika kheri kwa muda wote watakaofanya haraka kufuturu
Kutoka kwa Sahli bin Sa'ad radhi za Allah ziwe juu yake- hakika Mtume rehema na amani ziwe juu yake amesema: "Wanaendelea watu kuwa katika kheri kwa muda wote watakaofanya haraka kufuturu".

