Hakika kilicho kati ya mtu na ushirikina na ukafiri ni kuacha swala
Choose an available translation of this Hadeeth
Hadeeth text
Imepokewa kutoka kwa Jabiri -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake- amesema: Nilimsikia Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- akisema: "Hakika kilicho kati ya mtu na ushirikina na ukafiri ni kuacha swala".
Explanation
Benefits
Tahadhari kubwa kwa atakayeacha swala na akaitelekeza.
Attribution
Categories
Share hadeeth
Sharing options · 0 Total shares

