Atakayejenga msikiti kwa ajili ya Mwenyezi Mungu basi Mwenyezi Mungu atamjengea Peponi nyumba mfano wake
Choose an available translation of this Hadeeth
Hadeeth text
Kutoka kwa Mahmud bin Labidi radhi za Allah ziwe juu yake: Anasimulia kuwa Othman bin Affan alitaka kujenga msikiti watu hawakulipenda swala hilo, na wakapendelea auache katika muonekano wake, akasema: Nilimsikia Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- akisema: "Atakayejenga msikiti kwa ajili ya Mwenyezi Mungu basi Mwenyezi Mungu atamjengea Peponi nyumba mfano wake".
Explanation
Benefits
Kupanua msikiti na kuukarabati yote haya yanaingia katika fadhila za kujenga.
Umuhimu wa kutakasa nia kwa ajili ya Mwenyezi Mungu Mtukufu.
Attribution
Categories
Share hadeeth
Sharing options · 0 Total shares

