Anasimulia kuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alitawadha mara mbili mbili
Choose an available translation of this Hadeeth
Hadeeth text
Kutoka kwa Abdallah bin Zubairi -Radhi za Allah ziwe juu yake-: Anasimulia kuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alitawadha mara mbili mbili.
Explanation
Benefits
Sheria ya kutia udhu mara mbili mbili katika baadhi ya nyakati.
Sheria katika kufuta kichwa ni mara moja.
Attribution
Categories
Share hadeeth
Sharing options · 0 Total shares

