Alikuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- akitawadha kila wakati wa swala
Choose an available translation of this Hadeeth
Hadeeth text
Kutoka kwa Amri bin Aamiri kutoka kwa Anasi amesema: Alikuwa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- akitawadha kila wakati wa swala, nikasema: Nyinyi mlikuwa mnafanya vipi? Akasema: Ulikuwa ukimtosha mmoja wetu udhu mmoja madam hajatengukwa.
Explanation
Na inafaa kwa mtu kuswali kwa zaidi ya swala moja kwa udhu mmoja madam bado yuko na udhu wake.
Benefits
Sunna ya kushika udhu kila wakati wa swala.
Inafaa kutekeleza zaidi ya swala moja kwa udhu mmoja.
Attribution
Categories
Share hadeeth
Sharing options · 0 Total shares

