Madhambi makubwa kuliko yote: Ni kumshirikisha Mwenyezi Mungu, na kujiaminisha na adhabu za Mwenyezi Mungu, na kukata tamaa na rehema za Mwenyezi Mungu, Na kufa moyo katika huruma za Mwenyezi Mungu
Choose an available translation of this Hadeeth
Hadeeth text
Kutoka kwa Abdillahi bin Masoud Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake kutoka kwa Mtume Rehema na Amani ziwe juu yake yakwamba yeye amesema: "Madhambi makubwa kuliko yote: Ni kumshirikisha Mwenyezi Mungu, na kujiaminisha na vitimbi vya Mwenyezi Mungu, na kukata tamaa na rehema za Mwenyezi Mungu, Na kufa moyo katika huruma za Mwenyezi Mungu".
Explanation
Benefits
Nikuwa ushirikina ni dhambi kubwa na ni kosa kubwa kuliko yote.
Uharamu wa kujiaminisha na vitimbi vya Mwenyezi Mungu Mtukufu- na kukata tamaa na rehema zake, nakuwa hayo ni katika madhambi makubwa.
Kufaa kumsifu Mwenyezi Mungu kwa vitimbi katika kupambana na wenye vitimbi, na hii ni sifa ya ukamilifu, na sifa mbaya ni vitimbi kwa asiyestahiki kufanyiwa vitimbi.
Nikuwa la msingi kwa mja awe kati ya hofu na kutaraji, akiwa na hofu hawezi kukata tamaa, na akitaraji hawezi kujiaminisha.
Kuthibitisha sifa ya huruma kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa namna inayoendana na Utukufu wake.
Ulazima wa kumdhania vizuri Mwenyezi Mungu Mtukufu.
Attribution
Categories
Share hadeeth
Sharing options · 0 Total shares

