HadeethEnc · 1.18.0
Yakwamba Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alikuwa hakatai marashi
Available translations
Choose an available translation of this Hadeeth
01
Hadeeth text
Imepokewa kutoka kwa Anas bin Maalik -Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake-: Yakwamba Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alikuwa hakatai marashi.
02
Explanation
Ilikuwa katika muongozo wa Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- alikuwa hakatai marashi na anayapokea; kwa sababu ni mepesi kubebeka na yana harufu nzuri.
03
Benefits
Inapendeza kukubali zawadi ya marashi; kwa sababu hakuna tabu kuyabeba kwake na wala hakuna masimango ikiwa mtu atayakubali.
Ukamilifu na tabia njema za Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- kwa kutokataa marashi, na kukubali zawadi ya yeyote mwenye kumzawadia.
Himizo la kutumia marashi.
Ukamilifu na tabia njema za Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- kwa kutokataa marashi, na kukubali zawadi ya yeyote mwenye kumzawadia.
Himizo la kutumia marashi.
Attribution
[Imepokelewa na Al-Bukhaariy]
Categories
Share
Share hadeeth
Sharing options · 0 Total shares

