HadeethEnc · 1.18.0
Atakayedhuru Mwenyezi Mungu naye atamdhuru, na atakayewatia watu ugumu Mwenyezi Mungu naye atamtilia ugumu
Available translations
Choose an available translation of this Hadeeth
01
Hadeeth text
kutoka kwa Abuu Swirma -Radhi za Allah ziwe juu yake- Yakwamba Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- amesema: "Atakayedhuru Mwenyezi Mungu naye atamdhuru, na atakayewatia watu ugumu Mwenyezi Mungu naye atamtilia ugumu".
02
Explanation
Ametahadharisha Mtume -Rehema na amani ziwe juu yake- kutomuingizia madhara muislamu, au kumtia tabu katika jambo lolote katika mambo yake; Yeye mwenyewe au mali yake au familia yake, nakuwa atakayefanya hivyo basi Mwenyezi Mungu atamlipa na atamuadhibu kwa jinsi alivyomfanyia mwenzake.
03
Benefits
Uharamu wa kumdhuru muislamu na kumtia tabu.
Allah huwalipizia kisasi waja wake.
Allah huwalipizia kisasi waja wake.
Attribution
[Imepokelewa na Abu Daud, Tirmidhiy, Ibn Majah na Ahmad]
Categories
Share
Share hadeeth
Sharing options · 0 Total shares

