Mfano wa yale aliyonituma nayo Mwenyezi Mungu miongoni mwa uongofu na elimu ni sawa na mfano wa mvua kubwa iliyonyesha katika ardhi
Choose an available translation of this Hadeeth
Hadeeth text
Kutoka kwa Abuu Musa radhi za Allah ziwe juu yake- kutoka kwa Mtume rehema na amani za Allah ziwe juu yake, amesema: "Mfano wa yale aliyonituma nayo Mwenyezi Mungu miongoni mwa uongofu na elimu ni sawa na mfano wa mvua kubwa iliyonyesha katika ardhi, kukawa na kundi moja zuri lililokubali maji likaotesha malisho na majani mengi, na ilikuwa ni ardhi ni kame iliyomeza maji Mwenyezi Mungu akanufaisha watu kupitia ardhi hiyo wakanywa na wakanywesha na wakalima, na mvua hiyo ikashuka katika sehemu nyingine ya ardhi laini haitulizi maji na wala haioteshi mimea; Huu ndio mfano wa mtu aliyejifunza akaelimika katika dini ya Mwenyezi Mungu na yakamnufaisha aliyonituma nayo Mwenyezi Mungu akajua na akafundisha, na mfano mwingine ni wa mtu ambaye hakuyatilia maanani na wala hakukubali uongofu wa Mwenyezi Mungu ambao nimetumwa nao".
Explanation
Benefits
Ni vizuri kupiga mifano ili kusogeza karibu maana iliyokusudiwa kwa watu.
Amesema Qurtubi: Kama ambavyo mvua huuhuisha mji uliokufa hivyo hivyo pia elimu ya dini huhuisha moyo uliokufa, kisha akawafananisha wenye kumsikiliza na Ardhi iliyotofauti inayoteremkiwa na maji.
Watu katika kuipokea elimu ya kisheria wako daraja tofauti tofauti.
Attribution
Categories
Share hadeeth
Sharing options · 0 Total shares

