kipeperushi kifupi kwa lugha ya kiswahilii, ametunga Dr Haytham sarhaan ametaja ndani yake mambo muhimu yanayohusiana na funga za lazima na za sunna na wakati gani inachukizwa funga na wakati gani inaharamishwa pamoja na kutaja ahkaamu muhimu za kifiqhi zinazohusiana na zakaatul fitri na swala ya eid